Tuesday, January 29, 2013

LUGANO MWIGANEGE NINAKUKARIBISHA KATIKA UZINDUZI WA ALBAMU YANGU.

Lugano Mwiganege ninayofuraha kukualika Bw, Bi, Mch, Pro, Dr, Miss katika Tamasha la uzinduzi wa albamu ya mbili ya UNIFANYE NGUZO na UMETUKUKA.

Tamasha litafanyika tarehe 17/02/2013 Saa 8:00 - 12:00 jioni. Ukumbi ni katika kanisa la EAGT Mito ya Baraka-Kariakoo (karibu na jengo la Yanga).

Hakutakuwa na KIINGILIO, lakini nafasi ya kushiriki baraka na kuiwezesha huduma hii kuendelea itatolewa.

Wasiliana nasi:
Lugano Mwiganege +255 717 286494 na Deogratius Mariwa +255 758 58628


Lugano Mwiganege.
 Ndani ya Yesu kuna kila kitu..Amini hivyo mtumishi wa Mungu.

BAADHI YA WAIMBAJI WATAKAOKUWEPO KUSHIRIKIANA NA MIMI KUIFANYA KAZI YA MUNGU

 Ambwene Mwasongwe
 Glorious Celebration
 Emmanuel Mgaya (Masanja Mkandamizaji)
 Upendo Kilahiro
Jackson Benty

No comments:

Post a Comment